×

Jisajili BURE kushiriki Mbio na Matembezi ya Shukrani kwa Mlipakodi

Mbio za Shukrani kwa Mlipakodi yanayoandaliwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) yatafanyika Novemba 18, 2023 yakianzia kwenye Viwanja vya Gymkhana – Dar ES Salaam yakilenga kumshukuru mwananchi ambaye ni mlipa kodi katika mamlaka hiyo na kuifanya serikali kuongeza pato la Taifa.

Mbio zitakazofanyika ni za 5KM na  10KM.

Leave a Comment