Fursa ya Ajira – Wauzaji wa Maduka, Mikocheni, Masaki & Mlimani City

Eneo: Mikocheni Plaza, Mlimani City & Masaki, Dar es Salaam
Tunatafuta wasichana wenye talanta ya kuuza na huduma kwa wateja kujiunga na timu yetu ya maduka.
Vigezo / Requirements
Muonekano mzuri na nadhifu
Mwaminifu na waaminifu
Uwezo mzuri wa kuwasiliana na wateja
Uwe mkazi wa Dar es Salaam (Dar es Salaam resident)
Mshahara / Salary
Tsh 250,000 – 350,000
Jinsi ya Kuomba
Tafadhali wasiliana WhatsApp tu: 0656 116 023


Comments are closed.