Supastaa wa Bongo fleva Diamond Platnumz “Baba Tiffah” ameshinda tuzo za Bingwa Music, kipengele cha Msanii wa Mwaka kutoka Tanzania, tuzo zimefanyika usiku wa kuamkia leo nchini Kenya.
Supastaa wa Bongo fleva Diamond Platnumz “Baba Tiffah” ameshinda tuzo za Bingwa Music, kipengele cha Msanii wa Mwaka kutoka Tanzania, tuzo zimefanyika usiku wa kuamkia leo nchini Kenya.