Rais Samia Akishiriki Misa Maalum Ya Miaka 40 Ya Kumbukizi Ya Kifo Cha Hayati Sokoine (Picha +Video)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akishiriki Misa Maalum ya miaka 40 ya Kumbukumbu ya Miaka 40 ya kifo cha Hayati Edward Moringe Sokoine, aliyekuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Nyumbani kwa Hayati Sokoine Monduli Juu, Mkoani Arusha tarehe 12 Aprili, 2024
Hayati Edward Moringe Sokoine alifariki tarehe 14 Aprili, 1984 ambaye sasa imetimia miaka 40 ya kifo chake.