
Msanii wa Bongo Muvi, Duma na mjasiriamali maarufu ametangaza kuwa mwaka huu lazima afunge ndoa na mwanamke wake, @chino_china1 na kueleza kuwa anampenda sana ndiyo maana amekuwa akimposti mitandaoni, jambo ambalo hakuwahi kulifanya kabla.

Msanii wa Bongo Muvi, Duma na mjasiriamali maarufu ametangaza kuwa mwaka huu lazima afunge ndoa na mwanamke wake, @chino_china1 na kueleza kuwa anampenda sana ndiyo maana amekuwa akimposti mitandaoni, jambo ambalo hakuwahi kulifanya kabla.