Mama mzazi wa aliyekuwa msanii wa bongo movie Marehemu Kanumba amesema mikoba ya mtoto wake amemkabidhi @Duma_actor kwa sababu anafanya vitu vikubwa sana na anaheshimiana sana msanii huyo.
Mama mzazi wa aliyekuwa msanii wa bongo movie Marehemu Kanumba amesema mikoba ya mtoto wake amemkabidhi @Duma_actor kwa sababu anafanya vitu vikubwa sana na anaheshimiana sana msanii huyo.