Wakazi wa Dodoma Walivyonufaishwa na Tigo Kwenye Maonesho ya Nane Nane
Global Publishers August 7, 2024 0 Comments
SHARE THIS:
Mkurugenzi wa Tigo Kanda ya kati Said Iddi, akimpa zawadi mkazi wa Dodoma, Mary Isaya baada ya kununua Simu janja, aina ya ZTE katika Viwanja vya Nane Nane, Dodoma.