×

Mzee wa Yanga: Taifa letu Linapaswa Kuwa na Waamuzi Wazuri – Video


Mzee wa Yanga SC tawi la Nyabwela amefunguka kupitia Global TV na kueleza kuwa taifa letu linapaswa kuwa na Waamuzi wazuri katika mchezo wa mpira wa miguu ambao watakuwa wanachezesha vizuri mpira wetu.

Leave a Comment