
Msanii wa Kundi la Zabron Singers, Marco Joseph amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Agosti 22, 2024 katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete, Jijini Dar es salaam alipokuwa akifanyiwa Upasuaji wa Moyo.

Msanii wa Kundi la Zabron Singers, Marco Joseph amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Agosti 22, 2024 katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete, Jijini Dar es salaam alipokuwa akifanyiwa Upasuaji wa Moyo.