×

Lamata Amwaga Machozi Msibani Kwa Tessa, Apewa Ratiba Za Maziko Na Bosi Aziz Wa Huba – Video

Msanii wa Sanaa ya Uigizaji nchini Lamata amefika msibani kwa Grace Mapunda (Tesa) na kuanza kumwaga machozi baada ya kuondokewa kwa mpendwa wao.

Leave a Comment