


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan Akishiriki Kuaga Mwili wa Aliyekua Mbunge wa Kigambonio na Mkurugenzi Mteule wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Ukanda wa Afrika Mhe. Dkt. Faustine Ndugulile, leo tarehe 02 Disemba, 2024.
