×

Mbunge Shigongo: Baada Ya Miaka 15 Tanzania Itakuwa Nchi Bora Afrika Mashariki


Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo amesema bado Buchosa anayoitaka haijatimia licha ya mafanikio makubwa yaliyopatikana katika kipindi chake cha miaka mitano akiwa mbunge wa jimbo hilo.