×

Siri Yangu Ya Kuvutia Wateja Hadi Dukani Kwangu, Sasa Biashara Imekuwa Tajiriba Kubwa

Ninaishi mjini Nakuru, na kwa muda mrefu nimekuwa nikijishughulisha na biashara ya kuuza nguo. Nilianza na kibanda kidogo soko kuu, lakini changamoto zilikuwa nyingi. Wateja walikuwa wachache, na kila mara niliona jirani zangu wakiuza zaidi yangu. Nilijaribu punguzo la bei, matangazo, na hata kuleta mitindo mipya kutoka Nairobi, lakini bado nilibaki nikihesabu hasara.

Nilihisi kukata tamaa. Nilifikiri pengine biashara sio njia yangu. Lakini ndani yangu nilijua hii ndiyo kazi niliyoipenda. Nilihitaji suluhu ambayo ingebadilisha kila kitu.SOMA ZAIDI

Leave a Comment