Klabu ya Yanga imethibitisha kukamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji, Emmanuel Samuel Mwanengo kutoka TRA United.
Mwanengo (22) raia wa Tanzania amesaini mkataba wa miaka miwili.

Klabu ya Yanga imethibitisha kukamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji, Emmanuel Samuel Mwanengo kutoka TRA United.
Mwanengo (22) raia wa Tanzania amesaini mkataba wa miaka miwili.
