The House of Favourite Newspapers
gunners X

Meridianbet Kukuzawadia Samsung A26 Ukicheza Aviator

0

Kampuni ya ubashiri inayongoza Tanzania, Meridianbet, inaendelea kumwaga mizawadi ndani ya huu mwaka mpya wa 2026. Na kama kawaida yake, kupitia mchezo pendwa wa Aviator, sasa kila mshiriki anayo nafasi ya kuondoka na simu mpya aina ya Samsung A26 bila kuingia gharama yoyote ile ya ziada.

Masharti ni rahisi, cheza Aviator kama kawaida wakati wa promosheni. Kila wiki, mchezaji mmoja mwenye bahati atachaguliwa kujinyakulia simu hii mpya. Hii ikiwa na maana ya kwamba jumla ya simu nne zitatoka kwa mwezi mzima.

Meridianbet haikuachi nyuma, kuna michezo mbalimbali ya kasino mtandaoni pamoja na mechi za kimataifa za kubashiri zenye odds bomba zinazokuongezea nafasi ya kuongeza kipato chako kila siku. Kujiunga ni rahisi! Tembelea meridianbet.co.tz au piga *149*10#.

Kupaisha kindege cha Aviator kunabaki kuwa kitu cha kusisimua kwa mchezaji yeyote yule. Yaani unaangalia ndege ikipaa wakati faida yako inazidi kupanda, kisha “withdraw” kabla ya ndege kuanguka na unakua umejiongezea kipato chako kwa kiwango kikubwa sana.

Pata fursa ya kufurahia mchezo pendwa wa Aviator na wakati huohuo ukiwa na nafasi ya kujishinda simu hizi bora. Pakua programu ya Meridianbet au tembelea tovuti leo kujiunga na mchezo. Kumbuka, unavyozidi kucheza Aviator basi na nafasi ya wewe kuondoka na simu inaongezeka zaidi.

Leave A Reply