×

Maganya: Jumuiya ya Wazazi Yaunga Mkono Nchimbi Kuvuliwa Uanachama – Video

Mwenyekiti wa Taifa wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Fadhili Maganya, amesema jumuiya hiyo inaunga mkono uamuzi wa kumvua uanachama wa CCM, Dkt. Emmanuel Nchimbi.

Maganya ameyasema hayo Agosti 27, 2026, akiwa Misungwi, mkoani Mwanza, wakati wa ufunguzi wa sherehe za Wiki ya Wazazi Kitaifa.

Amesema msimamo huo unatokana na hatua zilizochukuliwa na chama dhidi ya Dkt. Nchimbi, huku akisisitiza umuhimu wa wanachama kuheshimu katiba, kanuni na maamuzi ya chama.

Leave a Comment