×

Lamata Village Yampa Pole Rais Samia Kufuatia Kifo Cha Mumewe

LAMATA VILLAGE Septemba 8, 2026 walifika kumpa pole Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kufuatia kufiwa na Mume wake Marehemu Maalim Hafidh Ameir Hassan aliyefariki dunia katika Hospitali ya Kumbukumbu ya Emilio Mzena Zanzibar, tarehe 07 Sept, 2026.

Kupitia ujumbe wao, LAMATA VILLAGE imesema imepata nafasi ya kumtembelea Rais Samia na kumpa pole, huku ikimuombea Mungu aendelee kumpa nguvu na kumsimamia katika kipindi hiki kigumu.

Aidha, wamewatoa pole ndugu, jamaa pamoja na wote walioguswa na msiba huo, wakisisitiza mshikamano na faraja katika kipindi hiki cha majonzi.

Leave a Comment