×

Diamond Platnumz Atajwa Kuwania Tuzo za BET

BET

Mwananmuziki Diamond Platnumz ametajwa kwa mara ya pili kuwania tuzo za BET katika kipengele cha Best International Act: Africa.

Wakali wengine wanaowania tuzo hiyo ni pamoja na Wizkid, Yemi, AKA na wengineo.

Diamond

Tuzo hizo zitatolewa mwishoni mwa mwezi Juni nchini Marekani.

1 Comment

Leave a Comment