Stori: Mwandishi Wetu, RISASI JUMAMOSI
KUONESHA kwamba haoni wala hasikii, Gift Stanford ‘Gigy Money’ amezidi kutia fora kwa kunaswa na wanaume tofauti safari hii, ametupia picha kimahaba akiwa na msanii wa Singeli, Amani Fongo.
Gigy ambaye amekuwa akitupia picha za nusu utupu katika Mtandao wa Instagram pamoja na kuwa kimahaba na wanaume tofauti kama staa wa Bongo Fleva, Seif Shaban ‘Matonya’, mtangazaji Gardner G. Habash na Idris Sultan, amepondwa vibaya baada ya kutupia picha mpya ya Fongo.
“Huyu kama vile hana wazazi sasa tumueleweje, mara Gardner mara Matonya yaani sijui ndiyo kiki au vipi,” aliandika mdau mtandaoni huku Gigy mwenyewe akidai aachwe kwani ndiyo maisha yake.
KUNUNUA NA KUSOMA MAGAZETI YA GLOBAL PUBLISHERS ONLINE, INGIA HAPA==>VODACOM M-PAPER APP
*********
JIUNGE NA SOCIAL MEDIA ZETU
KWA HABARI ZA KITAIFA, KIMATAIFA, MASTAA NA MIKASA YA KUSISIMUA
INSTAGRAM: @Globalpublishers
ERIC SHIGONGO INSTAGRAM: @ericshigongo
TWITTER: @GlobalHabari
FACEBOOK: @GlobalPublishers
SUBSCRIBE YOU TUBE: Global TV Online
GLOBAL TV ONLINE: www.globaltvtz.com
HADITHI ZA KUSISIMUA NA MBINU ZA UJASIRIAMALI, ERIC SHIGONGO FACEBOOK PAGE:@shigongotz