Magufuli Amteua Mrithi wa Gambo Global Publishers August 21, 2016 0 Comments SHARE THIS: Rais Dk. John Pombe Magufuli amemteua Gabriel Fabian Daqarro kuwa Mkuu wa Wilaya ya Arusha akichukua nafasi ya Mrisho Gambo ambaye ameteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha. SHARE THIS: