SERIKALI kupitia Idara ya Habari Maelezo, imelifungia gazeti la kila wiki la MwanaHalisi kwa muda wa miaka miwili kuanzia leo Jumanne, Septemba 19, 2017 likidaiwa kukithiri kuandika habari zinazokiuka maadili ya taaluma hiyo.
Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania, namely; Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi & Ijumaa Wikienda.