The House of Favourite Newspapers

Diamond Afunguka, Kuwa na Mahusiano na Lulu Diva

Msanii Diamond Platnumz amekanusha vikali tetesi za kuwa na mahusiano ya kimapenzi na msanii Lulu Abbas aka Lulu Diva. Tetesi hizo zilianza kusambaa baada ya video kusambaa mitandaoni zikimuonyesha Diamond Platnumz akiwa ‘Close’ na msanii huyo ‘sexylady’ wa Bongofleva katika party uzinduzi wa Album ya RJ the DJ iliyofanyika Mlimani City.

Baada ya tetesi hizo kusambaa, Diamond Platnumz aliamua kwenda kujibu Hoja hiyo kupitia comment kwenye Ukurasa mmoja wa Instagram uliokuwa umechapisha habari kuhusu tetesi hizo ;

Hii sio mara ya kwanza kwa Msanii Diamond Platnumz kuhusishwa kutoka kimapenzi na baadhi ya warembo nchini licha ya kuwa katika mahusiano.

HARMONIZE ft MAGUFULI kwangaru REMIX

Comments are closed.