×

Dkt. Hassan Abbas Afunga Ndoa na Mtangazaji wa Clouds Mamy Baby – Video

Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Hassan Abbas leo amefunga ndoa na Mtangazaji wa Clouds Media Group, Mkuwe Isale, maarufu Mamy Baby

Leave a Comment