Ni kisa cha kusisimua sana, kinachowahusisha kijana anayefahamika kwa jina la Hussein (18) na Mama yake mdogo ambaye ndiye aliyemlea baada ya mama yake mzazi kufariki.
Ndugu hawa alipotezana kwa muda mrefu kutokana na kijana huyo kutoroka nyumbani alipokuwa akiishi na mama yake mdogo huyo.
Comments are closed.