The House of Favourite Newspapers

Mbowe Ashindwa Ubunge Hai, Mafuwe Kidedea

0



Mgombea Ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Saashisha Mafuwe, ameibuka mshindi katika Jimbo la Hai katika uchaguzi uliofanyika jana Jumatano, Oktoba 28, 2020.

 

Akitangaza matokeo hayo, Msimamizi wa uchaguzi Jimbo la Hai mkoani Kilimanjaro, Yohana Elisha, ametangaza kuwa Mafuwe amepata kura 89,786 huku mpinzani wake Freeman Mbowe wa Chadema akipata kura 27,684 na wa tatu ni Mbaruku Mhina (ACT) mwenye kura 315.

 

Mbaruku Salehe Muhina (ACT Wazalendo) – kura 315

Saasisha Mafuwe (CCM) – kura 89,786

Freeman Mbowe (Chadema) – kura 7,684

Jumla ya kura zilizopigwa – 101785

 

Hivyo Mafuwe ametangazwa kuwa Mbunge Mteule wa Jimbo la Hai na kumburuza Mbowe aliyekuwa Mbunge wa Jimbo hilo.

 

Nunua magazeti kupitia globalapp.co.tz au Application ya GlobalApp Ujishindie Mkwanja hadi Tsh. 100,000/=

iOS 👉 https://apple.co/38HjiCx
Android 👉 http://bit.ly/38Lluc8
Web: www.globalapp.co.tz

 

Baada ya kununua jaza fomu hii bila kusahau jina lako kamili, kumbukumbuku namba ya manunuzi na namba ya simu uliyotumia kununua. Kwa Tsh 300 tu, utakuwa umejiweka kwenye nafasi ya kujipatia zawadi ya simu mpya na mkwanja mpaka 100,000 kila wiki. Nunua sasa uzawadiwe!

Kujaza fomu bofya hapa ===> https://bit.ly/3oB6AO7

 

Leave A Reply