The House of Favourite Newspapers

JPM Amteua Diwani Athumani Kuwa Mkurugenzi Mkuu TAKUKURU

Rais John Magufuli amemteua Kamishna wa Polisi, Diwani Athumani kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(TAKUKURU) kuchukua nafasi ya Kamishna wa Polisi Valentino Mlowola ambaye ameteuliwa kuwa Balozi.

Comments are closed.