JUMA NATURE ASEPA NA KIJIJI DAR LIVE (PICHA +VIDEO)
SHANGWE zilikuwa shangwe usiku wa kuamkia leo ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani Dar usiku wa Vanny Day ambapo wakali wa kudondosha utamu wa burudani, Juma Nature, Raymond Mwakyusa ‘Rayvanny’, Mzee wa Bwax, Gigy Money na wengine waliteka jukwaa kwa kuachia mangoma ya maana na kuwaacha mashabiki zao waki-enjoy vilivyo.
PICHA NA RICHARD BUKOS, GPL
Comments are closed.