Kitengo cha Mauzo cha Global Publishers Julai 27, 2019 kilitembeea wananchi wa Kigamboni na kuwakuta wakijiachia na magazeti ya Risasi Jumamosi na Championi Jumamosi.
Wananchi waliyamwagia sifa magazeti hayo wakisema kuwa ni magazeti bora na magazeti mazuri huku wakiwaasa wengine kujippatia nakala za magazeti hayo kila Jumamosi.
Comments are closed.