The House of Favourite Newspapers

KOCHA ZAHERA Athibitisha AJIBU Kuchukuliwa na TP MAZEMBE – Video

UONGOZI mpya wa Yanga chini ya Mwenyekiti wake, Mshindo Msolla umeanza mazungumzo na wachezaji wake muhimu nyota wanaomaliza mikataba yao.

 

Baadhi ya wachezaji ambao mikataba yao inatarajiwa kumalizika mwishoni mwa msimu huu ni Ibrahim Ajibu anayeelezwa kusaini mkataba wa awali (Pre Contract) Simba, Pappy Tshishimbi, Haji Mwinyi, Thabani Kamusoko, Amissi Tambwe na Mrisho Ngassa.

 

Yanga imepanga kukisuka kikosi chake chini ya kocha mkuu wa timu hiyo, Mkongomani, Mwinyi Zahera ili kuhakikisha wanachukua makombe yote yatakayoyashindania kwenye msimu ujao.

KOCHA ZAHERA Athibitisha AJIBU Kuchukuliwa na TP MAZEMBE

Comments are closed.