KOCHA ZAHERA Awahoji Waandishi, Awauliza Kuhusu SIMBA! -Video
KIKOSI cha Yanga Mei 14, 2019 kimeibuka na ushindi wa 1-0 lililofungwa na Tshishimbi katika kipindi cha kwanza na hivyo kuwafanya Yanga kuchukua pointi tatu na kuwa kileleni mwa msimamo mwa Ligi Kuu Tanzania Bara.
Comments are closed.