Mwili wa aliyekuwa mke wa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe, Bi. Linah George Mwakyembe unatarajiwa kuagwa leo katika Kanisa la KKKT lililopo Kunduchi Beach jijini Dar es Salaam kabla ya kusafirishwa kwenda wilayani Kyela mkoani Mbeya kwa ajili mazishi.
#BaloziKijazi– Poleni sana wanafamilia wa ndugu Mwakyembe kwa kuondokewa na ndugu yenu kipenzi. #RIPMamaMwakyembe. pic.twitter.com/GyNlFg9Ykf
— Global Publishers (@GlobalHabari) July 18, 2017
#VPSSuluhu: Tunajua Linah alikuwa zaidi ya kila kitu kwako Dkt. Mwakyembe, lakini unapaswa kumshukuru Mungu kwa kazi yake. #RIPMamaMwakyembe pic.twitter.com/MPbVGj7tVu
— Global Publishers (@GlobalHabari) July 18, 2017
#VPSSUluhu: Tumshukuru Mungu kwa kutupa dada Linah, alitupa amana yake na leo ameibeba. Bwana alitoa, Bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe. pic.twitter.com/7cnisQkGNS
— Global Publishers (@GlobalHabari) July 18, 2017
Jeneza lenye mwili wa Marehemu, Linah Mwakyembe. #RIPMamamMwakyembe pic.twitter.com/dyvNY13Myu
— Global Publishers (@GlobalHabari) July 18, 2017
Waombolezaji wakati wa ibada ya kuaga mwili wa marehemu mke wa Waziri wa Habari, Dk Mwakyembe, Linah Mwakyembe ktk Kanisa la KKKT Kunduchi. pic.twitter.com/jqLXkv8SGZ
— Global Publishers (@GlobalHabari) July 18, 2017