The House of Favourite Newspapers

Mama Mkwe Huyu Balaa! Anashauri Mpaka Njia za Uzazi wa Mpango Anazotaka Yeye

0

Jina langu ni Happy kutokea Tabora nchini Tanzania, ni mama wa watoto wawili kwa sasa, mwaka 2018 niliolewa na kijana ambaye kila jambo ilikuwa ni lazima amshirikishe mama yake.

Sikua na shida na hilo jambo, ingawa ukaribu wao ulikua kidogo umezidi kusema kweli, hata kabla ya kuanza naye mahusiano kumbe mama yake alinitathmini kwanza ndio akampa ruhusa ya kuanzisha hayo mahusiano.

Nilikuja kuambiwa baadae kuwa ndio kawaida yake, nilishangaa sana kwa sababu ndio ilikuwa mara ya kwanza kuona jambo hilo ingawa niliwahi kusikia kuwa kuna mambo kama hayo.

Yaani ilikua hata tukikubaliana jambo, ikitokea tu mama yake akatoa mawazo ya tofauti basi makubaliano yetu yote yalikuwa yanatupiliwa mbali.

Kilichonishtua sana ni pale alipokataa nitumie kipandikizi kwa sababu mama yake amemuambia sio njia sahihi. Hili halikuniingia akilini kabisa kwa sababu sisi kama wanandoa, haya ni maamuzi ya faragha inakuwaje anamshirikisha mama yake?.

Mwisho wa siku nilichoka, nikamueleza jirani yangu Mama Mage kuhusu tabia hiyo, akaniambia dawa ya huyo mama mkwe wangu ni ndogo tu, akanipatia namba za Kiwanga Doctors (+254 769 404965) na kuniambia atanisaidia.

Niliwasiliana na Kiwanga Doctors na kumueleza changamoto hiyo ya kifamilia, basi alinifanyizia dawa yake na tangu wakati huo ukawa ndio mwisho wa mama mkwe kuingilia ndoa yetu.

Kuna siku nilipata habari za chini chini kuwa mama mkwe anasema kwa sasa nimemshika vibaya mtoto wake kiasi kwamba hamshirikishi tena mambo yetu kama ilivyokuwa mwanzo, hapo nikajua kuwa dawa ya Kiwanga Doctors imefanya kazi yake.

Siku zote kumbuka Kiwanga Doctors anatoa huduma kama kusafisha nyota, kusuluhisha migororo ya ndoa, mahusiano, mapenzi na familia, kumfunga mume au mke asitoke nje ya ndoa, anatoa tiba kwa wanaotafuta watoto.

Vilevile anatoa huduma ya kukusaidia kupata kazi au ajira, kupandishwa cheo na mshahara kazini, kuwasaidia wenye urahibu wa dawa za kulevya, sigara na pombe, kwa wanaotafuta mume au mke pia anawasaidia tena ndani ya siku chache.

Anatibu magonjwa kama kisukari, msukumo wa damu (BP), upungufu wa nguvu za kiume, miguu kuwaka moto n.k, pia anaweza kuisadia biashara yako kunawiri, na huduma zote hizi unaweza kuzipata bila kufika ofisini kwake.

Basi chukua hatua ya kuwasiliana na Kiwanga Doctors kwa namba; +254 769 404965.

Mwisho.

 

Leave A Reply