Yusufu Manji na wenzake jana walisomewa mashtaka saba yakiwemo ya kuhujumu uchumi wa nchi, kukiuka sheria ya usalama wa taifa na kukutwa na mihuli ya Jeshi la Wananchi Tanzania.
Manji amesomewa Mashtaka hayo wakati akiwa amelazwa kitandani katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete Muhimbili akitibiwa malazi ya moyo ambapo alinyimwa dhamana na kesi hiyo kupangwa kusikilizwa tena Julai 19.
Manji na wenzake walivyosomewa mashtaka 7 chini ya Sheria ya Uhujumu Uchumi&Usalama wa Taifa, kukutwa na vitambaa vya sare za JWTZ na mihuri pic.twitter.com/wgbQ3qPSnM
— Global Publishers (@GlobalHabari) July 6, 2017
[…] huyo alisema Grace lazima ajibu mashtaka dhidi yake maana yeye waziri hawezi kwenda Zimbabwe, akampiga mtu na akatarajia suala hilo […]