The House of Favourite Newspapers

Mtangazaji Dida Shaibu Afariki Dunia

Mtangazaji maarufu nchini, Khadija Shaibu almaarufu Didah amefariki dunia jioni ya leo, Oktoba 4, 2024.

Taarifa za kifo cha Didah zimethibitishwa na mtangazaji mwenzake ambaye pia ni mtu wake wa karibu, Maulid Kitenge kupitia akaunti zake za mitandao ya kijamii.

Taarifa zaidi zitakujia hivi punde.