The House of Favourite Newspapers
gunners X

Ngoma za Moto! Amapiano na Vibe Zilizopendwa na Mashabiki 2025

0

Mwaka 2025 umeendelea kuonesha kwa nini Afrika Kusini ni moja ya nguzo kubwa za muziki barani Afrika. Kuanzia vilabu vya usiku, redioni hadi kwenye mitandao ya kijamii kama TikTok, muziki wa SA umejaa ubunifu, midundo mipya na collabo zinazovuka mipaka.

Licha ya aina nyingi za muziki kuwepo, Amapiano bado inaongoza lakini imekuja kwa sura mpya inachanganywa na afro-soul, hip-hop na hata pop, jambo linalofanya ngoma nyingi kuwa za kisasa na kuvutia mashabiki wa rika tofauti.

1️⃣ Isaka (6am)CIZA, Jazzworx & Thuthukile – mojawapo ya nyimbo bora za mwaka na curve ya stream kubwa.
2️⃣ Abantwana BakhoDJ Maphorisa, Thatohatsi, Young Stunna & Nkosazana Daughter – hit kali ya Amapiano.
3️⃣ BengicelaMaWhoo, GL_Ceejay & Thuthukile ft. Jazzworx  
4️⃣ Uzizwa Kanjani / Uziwa KanjanJazzworx, MaWhoo, Thuthukile & GL_Ceejay 
5️⃣ NgishutheniGoon Flavour, Master KG & Eemoh.
6️⃣ MaliDlala Thukzin, Zee Nxumalo & Sykes 
7️⃣ Soos ’n EngelLen Muller.
8️⃣ Uyena (Live)Sjava – afro-soul & hip-hop fusion inayopendwa sana.
9️⃣ MagumbaKhadeair ft. Kaytah & Peekay Mzee .
🔟 My DarlingChella.

Leave A Reply