Rais Samia Apokea Ripoti Ya CAG Na Taarifa Ya Utendaji Kazi Ya Takukuru 2022/2023 -(Picha+Video)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akipokea Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka 2022/2023 pamoja na taarifa ya Utendaji Kazi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kwa mwaka 2022/2023 leo Ikulu Chamwino mkoani Dodoma leo tarehe 28 Machi, 2024.