Mkuu wa Wilaya ya Siha, Onesmo Buswelu, amepokea msaada wa mifuko 70 ya Mbolea aina ya Urea kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mghwira ambapo mbolea hiyo ni kwa ajili ya vikundi vya kina mama wanaojishughulisha na kilimo mkoani Kilimanjaro, Msaada huo umetolewa na GSM Tanzania na kukabidhiwa na Meneja Mawasiliano na Uhusiano wa GSM Group, Matina Nkurlu.
Comments are closed.