Gobal TV Online: Sasha Awahimiza Mashabiki Kutazama Mapambano ya Ngumi Leo
Mrembo wa Miss Lake Zone na Miss Mara, 2014 Sasha Kassim amewahamasisha wadau wanaotumia mitandao kusubscribe Global TV Online ili kutazama mpambano wa ngumi wa Global TV – Ubingwa wa Afrika Mashariki na Kati yatakayofanyika leo katika Ukumbi wa Dar Live uliopo Mbagala Zakhem jijini Dar es Salaam.
Global TV ilifanya mahojiano na Sasha Kassim katika hoteli ya Future iliyoko Tangi-Bovu Dar es Salaam, mrembo huyo aliwahimiza watumiaji wa mitandao wanaotumia simu, kompyuta, tablet na kadhalika ku-subscribe Global TV Online akisema na yeye atakuwepo Dar Live.
Mapambano hayo yatakuwa mubashara kuanzia saa 2:00 usiku na kuendelea kupitia Global TV.
Ku-subscribe kutakuwezesha kuangalia mapambano hayo yaliyoandaliwa na TV hiyo ya Online.
Subscribe hapa www.youtube.com/user/uwazi1
MKimataifa itaoneshwa Mubashara na Global TVOnline
[…] Mayweather na McGregor wameonekana mara kadhaa katika maeneo tofauti wakibishana na kutaniana huku mashabiki wao wakishangilia kwa nguvu. Ni mbinu hii ndiyo inayolifanya lisubiriwe kwa hamu na mamilioni ya […]