The House of Favourite Newspapers
gunners X

Shetta Achaguliwa Mstahiki Meya wa Jiji la Dar es Salaam

0
Diwani wa Kata ya Mchikichini, Nurdin Bilal maarufu Shetta

Diwani wa Kata ya Mchikichini, Nurdin Bilal maarufu Shetta, amechaguliwa kuwa Mstahiki Meya wa Jiji la Dar es Salaam. Uchaguzi huo ulifanyika kwa kishindo, ambapo Shetta alipata kura 48 kati ya kura 51 zilizopigwa.

Uchaguzi huu unamweka Shetta katika nafasi muhimu ya kuongoza na kusimamia masuala ya maendeleo ya Jiji la Dar es Salaam, huku akitarajiwa kuimarisha huduma kwa wakazi na kusimamia miradi ya maendeleo.

WASOMALIA HALI TETE MAREKANI – TRUMP ATANGAZA WARUDISHWE WALIKOTOKA – YAZUA MAJIBIZANO MAKALI..

Leave A Reply