Airtel Fursa Yainua Kikundi cha Vijana Wajasiriamali Lindi
Meneja wa Huduma kwa Jamii wa Airtel, Hawa Bayumi (wa pili kushoto), akiwapongeza kikundi cha vijana watano wajasiriamali kijulikanacho kwa jina la Sauti ya Jamii baada ya kuwakabidhi msaada wa Zizi jipya la mbuzi, mbuzi 44 na vitendea…
