Denti Atwangwa Risasi Dar
DAR ES SALAAM: Hii haikubaliki! Denti aliyehitimu kidato cha sita katika Shule ya Sekondari ya Jitegemee, Idd Niachieni (23) mkazi wa Mtaa wa Madenge, Buguruni jijini Dar, hivi karibuni alitwangwa risasi kichwani na majambazi.…
