KIPUSA YA KIBA… NOMA SANAAA!
BAADA ya ukimya wa muda mrefu wa kutoachia ngoma mpya, staa wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’ aliwaweka kwenye ‘kimuhemuhe’ mashabiki wake kwa kuonesha dalili za kuachia wimbo mpya ambao ulishakuwa maarufu kabla hata…
