JEURI! Singida Utd Yashusha Mashine Mbili, Yumo Mfungaji Bora Rwanda
JEURI YA PESA! KLABU ya Singida United ambayo imepanda daraja msimu uliopita, ikiwa kwenye maandalizi ya michuano ya Ligi Kuu Tanzania Bara, leo imezidi kuonyesha jeuri yake ya pesa baada ya kuwashusha rasmi wachezaji wake…
