DARASA SNURA LEO NDANI YA CHATO
IMEFIKA! Baada ya kusubiriwa kwa hamu na mashabiki wengi, hatimaye wakali wawili wasioshikika kunako gemu la Muziki wa Bongo Fleva, Snura Mushi ‘Mamaa Majanga’ na Sharif Thabeet ‘Darassa’ leo Jumamosi wanatarajiwa kuweka historia mpya…
