Serikali ya Dubai Yamkana R. Kelly
WIKI iliyopita mwanamuziki wa Marekani, R. Kelly, aliiomba mahakama mjini Chicago impatie ruhusa ya kwenda mjini Dubai kufanya maonyesho yake kadhaa ambayo alidai kutumbuiza kabla ya kutiwa nguvuni.
Hata hivyo, serikali ya…
