ALIYEJIFUNGUA NA KUAMBIWA MTOTO KAFA, UTATA WA MAITI WAIBUKA!
Mwanamke mmoja, Anita Shayo, mkazi wa Tabata aliyejifungua hivi karibuni kwenye Hospitali ya Amana jijini hapa, kisha mtoto wake ambaye alikuwa hajatimiza siku za kuzaliwa (njiti) kudaiwa kufariki dunia amezua utata baada ya kuikataa…
