Mamba Mzee Anayeabudiwa Kama Miungu
Nchini Nigeria, kuna kabila moja ambalo humuabudu mamba kama miungu. Mamba huyo wanayemuabudu kwa sasa ana umri wa miaka 78. Wakazi wa eneo hilo la Oje viungani mwa mji wa Ibadan kusini magharibi mwa Nigeria humuenzi mamba huyo sana na…
