Wabunge Waendelea Kuapishwa na Spika Ndugai Dodoma – Video
BUNGE la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lililoanza rasmi leo Jumanne, Novemba 10, 2020, linaendelea jioni hii ambapo leo Wabunge wanaendelea kula kiapo cha uaminifu kikisimamiwa na Spika wa Bunge, Job Ndugai.
