Kwa nini unung’unike kwa mafanikio kiduchu?
Awali ya yote nichukue fursa hii kuwatia nguvu ndugu zangu Waislam ambao wako katika hatua za mwisho kumaliza mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Niwaambie tu kwamba wana kila sababu ya kutumia kipindi hiki kutubu madhambi yao na kuahidi…
