“1ST HOUSING FINANCE” KUTOA MIKOPO NAFUU YA NYUMBA
KAMPUNI ya kwanza ya utoaji wa mikopo ya nyumba nchini iitwayo 1st Housing Finance (Tanzania) Limited yenye makazi yake Upanga jijini Dar es Salaam leo imezinduliwa rasmi.
Kampuni hiyo imeanzishwa na Bank M…
